copy and paste this google map to your website or blog!
Press copy button and paste into your blog or website.
(Please switch to 'HTML' mode when posting into your blog. Examples: WordPress Example, Blogger Example)
Naomba kujua hatua za kufata ili kubadili taarifa muhimu . . . - JamiiForums Habari, Watanzania wenzangu, Napenda kufahamu kutoka kwenu hatua za kufata ili kubadili taarifa muhimu katika kadi ya NIDA Hasa kwa wale wenye idea na jambo hili nilifanikiwa kujisajiri ili kupata kitambulisho cha uraia nimefanikiwa kupata no Mpaka sasa Ila Changamoto inakuja nimekuta
Hii ndiyo list ya international Collabo za Alikiba - JamiiForums Habari wakuu! Mpaka sasa hizi ndo jumla ya collabo za Alikiba zilizokamilika na zilizopo jikoni 1 Christian Bella X Alikiba Jina la wimbo ni "Nagharamia" Owner wa collabo wote 2 Bella na Kiba Completed Audio, Audio imekuwa produced na producer Abdady wa chaders Records (Producer wa
Tujikumbushe hawa watangazaji wa redio free RFA - JamiiForums Wafuatao ni watangazaji wa Radio Free Africa (RFA) Nilikuwa shabiki mkubwa wa RFA kwa maana ilijitahidi kuziba mapungufu ya RTD! Sasa hivi sera za radio hii zimebadilika sana na kukosa mwelekeo, kimsingi imekuwa kama zile za wilayani ambazo watangazaji wake wengi ni ma DJ! Nimebaki nasikiliza
Simulizi ya Kijasusi: Bado Ninaishi - JamiiForums Hi! once again fellas, mimi ndiye yule mwandishi wa simulizi za kijasusi kama ULIMWENGU WA WATU WABAYA, I WANT TO DIE JUDGE, GEREZA LA HAZWA, NYARAKA NAMBA 72, JIJI LA KAMARI, NAFSI ZILIZO TELEKEZWA na zingine Leo kwa mara nyingine nadondosha wino wangu ndani ya huu mzigo mzito na mkali wa
UTUMISHI wameita watu kwenye Usaili - JamiiForums SIjui kama imeshawekwa hapa jukwaani Ila ni kada tofauti tofauti Matangazo ya muda kidogo nadhani application za mwezi wa 4 au wa 5 hivi Tarehe za usaili ni 24, 25 na 26 Sept PDF Hii hapa: Kama simu haina uwezo, majina haya hapa: KADA: SENIOR TUTOR WATER SUPPLY AND SANITATION
Kuitwa kazini Utumishi, Oktoba 2015 - JamiiForums OFISI YA RAIS SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA Kumb Na EA 7 96 01 H 73 07, Oktoba, 2015 TANGAZO LA KUITWA KAZINI Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma inapenda kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali waliofanya usaili kuanzia tarehe 22 08 2015 hadi tarehe 16 09 2015 kuwa mchakato wa kuwapangia vituo vya kazi umekamilishwa Orodha ya majina ya waliopangiwa vituo
Majambazi Wakenya Walivyotikisa na Kuweka Historia Kanda ya Kaskazini . . . Kitabu bora cha UJASUSI na USALAMA kiitwacho "IJUE HISTORIA" chenye kurasa 470 kinachoongelea historia za UJASUSI, UPELELEZI, SIRI ZA DUNIA, UGAIDI na UHALIFU kimeshatoka na kinapatikana kwa sh 25,000 tu Pia kundi la "ijuehistoria" (WhatsApp group) lipo kwa gharama ya sh 3000 kwa mwezi Namba
Simulizi ya kijasusi: Nafsi zilizotelekezwa - JamiiForums NINI SIRI YA NAFSI ZILIZO TELEKEZWA? Inahusu nini, inamhusu nani, kipi kipo nyuma yake? Ungana nami kwenye mtiririko huu uweze kuelewa NAFSI ZILIZO TELEKEZWA inahusu nini Mwaka 1991, ni mwaka ambao umoja wa nchi za Kisovieti ulidondoka baada ya kushindwa kwenye vita baridi dhidi ya watu wa
Bongo5: The 100 Greatest Bongo Flava Songs of All Time 1 Zali la mentali – Profesa Jay ft Juma Nature 2 Starehe – Ferouz ft Profesa Jay 3 Latifa – MB Dogg 4 Bongo Dar es Salaam – Profesa Jay ft Lady Jaydee 5 Darubini kali – Afande Sele ft Ditto 6 Cinderella – Alikiba 7 Mzee wa Busara – Juma Nature 8 Hakunaga – Sumalee 9 Mr Blue – Mapozi