copy and paste this google map to your website or blog!
Press copy button and paste into your blog or website.
(Please switch to 'HTML' mode when posting into your blog. Examples: WordPress Example, Blogger Example)
GE2025 - CCM wanatangaza majina ya wagombea ubunge . . . - JamiiForums Wakuu, Ile siku ambayo ilikuwa inasuburiwa kwa hamu ni leo Ngoja tuone kitachojiri ========= Wakati watu wakimsubiri Makalla, ukurasa rasmi wa CCM umepost picha hizi kwamba kikao bado kinaendelea Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) chini ya Mwenyekiti wa
GE2025 - Kamati Kuu CCM yatangaza rasmi majina ya watia . . . - JamiiForums CCM wanatangaza majina ya wagombea ubunge, maamuzi ya kamati kuu muda huu Kamati Kuu CCM yamaliza kikao saa 5 usiku, yapitia na kuchuja mapendekezo ya majina ya Wagombea Taarifa hiyo inasubiriwa kwa hamu kubwa, kwani itabainisha majina ya wagombea waliopenya katika hatua za awali za uteuzi kuelekea uchaguzi wa ndani wa chama hicho tawala Updates
Watu wote wenyeakili wanajua; Mipango yao ime fail, CCM inazidi kuwa . . . Watu wanaotumia mihemko wataendelea kupiga kelele Lakini ukweli ni kwamba mipango yao waliyoisuka kwa miaka mingi imezimwa kama mshumaa Wao wanapanga CCM inapanga CCM imevuka vikwazo vingi mno, imepita kwenye milima na kwenye mabonde mazito Imepenya majaribio mengi Walitumia maafisa
Jambo pekee la kuwafanya CCM waogope kuwachezea . . . - JamiiForums Kwa muda mrefu sana, CCM waliwafanya Watanzania kama mazuzu na wapumbavu Waliwateka, kuwaua, kuwaibia uchaguzi, kufisadi rasilimali za Taifa huku wakiwalisha propaganda za amani, udini, uzalendo, vita vya kiuchumi na nyingine nyingi CCM hawakuweza tu kuwarubuni Watanganyika kwa uongo bali
PostGE2025 - CCM kubalini yaishe, mtamponza Mama Samia CCM kubalini uwezo wenu wa kuongoza taifa umefikia mwisho, umegota na kila lenye mwanzo halikosi mwisho Ili kukinusuru chama kwa muongo mwingine ujao mshaurini Samia ajiuzulu, iandikwe katiba mpya uchaguzi urudiwe hiyo ndiyo itakuwa salama yenu Kuendeleza jeuri kuwa sisi ndio chama tawala
Nyerere na CCM walisahau kupambana na ubaguzi wa kisiasa na sasa . . . Tangu tunapata uhuru mpaka sasa utawala wa CCM ulijikita sana kupambana na ubaguzi wa ukabila, rangi, dini na ukanda Walichojisahau au kwa makusudi hawakuwahi kuwekeza jitihada zozote kupambana na ubaguzi wa kisiasa, kuwaona wapinzani wa CCM ni raia sawa na wenye haki kamili sawa na wana CCM
Ushahidi: Jinsi CCM walivyoshinda uchaguzi kwa kishindo cha 98% Kwa bahati mbaya, CCM kwa kutaka sifa pamoja na kuwakomoa wasusiaji, wakaamua kuwaelekeza wasimamizi wa vituo kukuza kura ili kuuhadaa umma wa kimataifa na pia kujihadaa wao wenyewe kwamba wapigakura walijitokeza kwa wingi kwenye vituo vya kupigia kura na kuonyesha kuwa mama anaupiga mwingi Nchi ya ovyo kabisa
Makala Elimishi: Kwanini JWTZ Kamwe Haliwezi Kupindua . . . - JamiiForums Kwa nini Jeshi la Tanzania haliwezi Kupindua Serikali Sababu ni ile ile moja ya kwanini CCM siku zote lazima ishinde uchaguzi mkuu wa Tanzania, sababu ya CCM kushinda, ni hii katiba ya Tanzania ya mwaka 1977, ni katiba ya CCM, wakati huo chama kimeshika hatamu za kuongoza serikali, hivyo ni katiba ya mfumo wa chama kimoja
Wajumbe mabalozi wa CCM watupa bendera za chama chao Habari za muda huu waungwana! Katika Hali ya kustaajabisha, wakati wa pita pita zangu katika kata yangu nimekuta BENDERA ZA ccm ambazo tumezoea kuziona zikipepea katika nyumba za mabalozi wajumbe wa ccm zikiwa zimeshushwa, wengine wamefika hatuna ya kuzifanya tambara za kudekia