copy and paste this google map to your website or blog!
Press copy button and paste into your blog or website.
(Please switch to 'HTML' mode when posting into your blog. Examples: WordPress Example, Blogger Example)
Fahamu historia ya Diamond Platnumz juu ya maisha na muziki wake Diamond alirelease nyimbo yake ya nne na kuweka record ya kuwa msanii wa kwanza na pekee kujaza Club Maisha hadi watu kushindwa kuingia na hata wengine kuzimia baada kutokupata hewa ya kutosha kutokna na wingi ujaaji huo
Diamond Platnumz amuoa Zuchu. Ni mpango wa kuuzima moto wa Askofu . . . Wakuu Huu mbona kama ni mkakati hivi wa kutaka kututoa kwenye Reli? Msanii wa Bongo Fleva, Nadeem Abdul maarufu kwa jina la Diamond Platnumz amemuoa mpenzi wake wa muda mrefu Zuhura Othman Soud maarufu Zuchu Msanii wa lebo yake WCB Wasafi Ndoa hiyo imeibuka katikati mjadala mkali baada ya
Diamond, freemason siri nje - JamiiForums Diamond akisalimiana na mtasha kwa ishara ya Kifreemason Stori: Shakoor Jongo na Erick Evarist SIRI imefichukua kuwa madai kwamba kichaa wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul Jumaa Diamond Platnumz ni memba wa jamii ya siri inayodaiwa kumwabudu shetani, Freemason a k a Wajenzi Huru zilianza
Zuchu amlipua Diamond na familia yake. Adai kufanyiwa Unyanyasaji na . . . Msanii wa Bongo Fleva, Zuchu, ameandika barua ya wazi kwa Diamond Platnumz akilalamikia unyanyasaji wa mara kwa mara kutoka kwa taasisi yake Wasafi FM, kupitia maudhui ya kipindi cha Mashamsham Zuchu amesema maudhui hayo yameathiri sanaa na afya yake ya akili, licha ya uwekezaji mkubwa wa
SoC01 - Mambo ya kujifunza kwenye mafanikio ya Diamond Platnumz Collabo alizofanya Diamond platnumz ni zao la kufahamiana na watu wa aina tofauti tofauti Lakini pia, mama mzazi wa Diamond amechangia kwa kiasi kikubwa mafanikio ya Diamond kwa kutomzuia kuimba mziki wakati anasoma shule ya msingi na kumnunua CD za album za wasanii wa kipind hicho hii sapoti kutoka kwa mama imechangia mafaniko ya Diamond
Return to Moria - No Black Diamonds for The Eastern Stairs Solo players in Return to Moria frequently hit a glitch where they can't get enough Black Diamonds to rebuild The Eastern Stairs This is due to drops being randomised and judging from the Steam Discussions it's a frequent problem It makes you think; you already need a specialised tool, why woul
Diamond Platnumz anunua gari mpya la kifahari Bentley GT W12 ya Milioni . . . Staa wa muziki wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz, amejivunia kumiliki gari la kifahari aina ya Bentley Continental GT W12 ya mwaka 2019 Gari hilo lilionekana kwenye msafara wa Diamond alipokuwa akienda Ivory Coast kwa ajili ya show yake, likifuatana na Cadillac na Rolls Royce Bentley hiyo ina
Diamond asafirisha magari yake ya kifahari Rolls-Royce, Escalade . . . Msanii maarufu wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz, amesafirisha magari yake ya kifahari aina ya Rolls-Royce na Cadillac Escalade hadi Zanzibar Magari hayo yanatarajiwa kutumika katika msimu huu wa Tuzo za Trace, zinazofanyika leo, Februari 26 Harmonize adata na showbiz kutoka kwa Kaka yake na
Diamond kaoa na wambea hawajui, kweli mwamba kaamua kuwakomesha Naona kama ni mpango wa kuzima kelele za Gwajima🤔🤔 Anaandika diamond "Miongoni Mwa vitu ambavyo nimejifunza ni Ukomavu wa Kukaa kimya… Ukomavu huu unataka uvumilivu wa hali ya juu, Inataka uwe na moyo wa Subra na hasa kukaza roho pindi mtu au watu wanapokua wanakupakazia ubaya fulani kwenye
Tetesi: - Hayawi Hayawi, Diamond kumposa Zuchu Ijumaa! Diamond amekuwa akitoa ahadi nyingi hivyo wengi hatukuchukulia tamko lile kwa uzito, nimeshtuka baada ya kupewa taarifa za uhakika kuwa ni kweli na posa hiyo itapelekwa nyumbani kwa Bi Khadija Kopa Ijumaa ya kesho kutwa tarehe 7 Haya jamani, mambo ndio yako hivyo na hii ni habari endelevu nitakuwa hapa kuwajuza mapema kadiri nitakavyopokea