copy and paste this google map to your website or blog!
Press copy button and paste into your blog or website.
(Please switch to 'HTML' mode when posting into your blog. Examples: WordPress Example, Blogger Example)
Diamond Platnumz amuoa Zuchu. Ni mpango wa kuuzima moto wa Askofu . . . Wakuu Huu mbona kama ni mkakati hivi wa kutaka kututoa kwenye Reli? Msanii wa Bongo Fleva, Nadeem Abdul maarufu kwa jina la Diamond Platnumz amemuoa mpenzi wake wa muda mrefu Zuhura Othman Soud maarufu Zuchu Msanii wa lebo yake WCB Wasafi Ndoa hiyo imeibuka katikati mjadala mkali baada ya
Fahamu historia ya Diamond Platnumz juu ya maisha na muziki wake Diamond alirelease nyimbo yake ya nne na kuweka record ya kuwa msanii wa kwanza na pekee kujaza Club Maisha hadi watu kushindwa kuingia na hata wengine kuzimia baada kutokupata hewa ya kutosha kutokna na wingi ujaaji huo
Picha ya Diamond Platnumz aliyopigwa Summer Jam 2025 . . . - JamiiForums Picha ya Diamond Platnumz aliyopigwa Summer Jam 2025 yauzwa pesa ndefu, TSh Milioni 1 3 na Getty Images Kampuni kubwa inayojulikana kimataifa kwa upigaji picha za wasanii wakubwa na matukio makubwa, Getty Images, imetangaza rasmi kuuza picha moja ya Diamond Platnumz kwa $499 (Tsh Milioni 1 3 =) ikiwa na ubora (quality) wa juu kabisa – (4188 x
Diamond, freemason siri nje - JamiiForums Diamond akisalimiana na mtasha kwa ishara ya Kifreemason Stori: Shakoor Jongo na Erick Evarist SIRI imefichukua kuwa madai kwamba kichaa wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul Jumaa Diamond Platnumz ni memba wa jamii ya siri inayodaiwa kumwabudu shetani, Freemason a k a Wajenzi Huru zilianza
Diamond amejitolea kumsomesha mtoto wa Dida mpaka anamaliza Elimu Wakati wa kutoa pole kwa wafiwa mwanahabari mkongwe, Maulid Kitenge ametoa salamu kwa niaba ya Mkurugenzi wa Wasafi Media bwana Diamond Platnumz ambaye yupo Zimbabwe ambaye msiba umemkuta akiwa huko Amesema kuwa kuanzia siku hiyo Diamond atabeba jukumu la kumsomesha mtoto wa Dida Shaibu mpaka
SoC01 - Mambo ya kujifunza kwenye mafanikio ya Diamond Platnumz Collabo alizofanya Diamond platnumz ni zao la kufahamiana na watu wa aina tofauti tofauti Lakini pia, mama mzazi wa Diamond amechangia kwa kiasi kikubwa mafanikio ya Diamond kwa kutomzuia kuimba mziki wakati anasoma shule ya msingi na kumnunua CD za album za wasanii wa kipind hicho hii sapoti kutoka kwa mama imechangia mafaniko ya Diamond
Tetesi: - Hayawi Hayawi, Diamond kumposa Zuchu Ijumaa! Diamond amekuwa akitoa ahadi nyingi hivyo wengi hatukuchukulia tamko lile kwa uzito, nimeshtuka baada ya kupewa taarifa za uhakika kuwa ni kweli na posa hiyo itapelekwa nyumbani kwa Bi Khadija Kopa Ijumaa ya kesho kutwa tarehe 7 Haya jamani, mambo ndio yako hivyo na hii ni habari endelevu nitakuwa hapa kuwajuza mapema kadiri nitakavyopokea
Zuchu amlipua Diamond na familia yake. Adai kufanyiwa Unyanyasaji na . . . Msanii wa Bongo Fleva, Zuchu, ameandika barua ya wazi kwa Diamond Platnumz akilalamikia unyanyasaji wa mara kwa mara kutoka kwa taasisi yake Wasafi FM, kupitia maudhui ya kipindi cha Mashamsham Zuchu amesema maudhui hayo yameathiri sanaa na afya yake ya akili, licha ya uwekezaji mkubwa wa
Kuna uwezekano mkubwa Mwamposa akawa na pesa zaidi kuliko Diamond . . . Huyu jamaa harakati zake za kusaka tonge si mchezo, ninashawishika zaidi kuamini kwamba ana pesa zaidi kuliko Diamond Platnumz Kama Samia atashinda uchaguzi huu, huyu jamaa utajiri wake utazidi kupaa na si ajabu akawa miongoni mwa watu (top 10) wenye pesa zaidi hapa nchini Gwajima ameteleza
Diamond kaoa na wambea hawajui, kweli mwamba kaamua kuwakomesha Naona kama ni mpango wa kuzima kelele za Gwajima🤔🤔 Anaandika diamond "Miongoni Mwa vitu ambavyo nimejifunza ni Ukomavu wa Kukaa kimya… Ukomavu huu unataka uvumilivu wa hali ya juu, Inataka uwe na moyo wa Subra na hasa kukaza roho pindi mtu au watu wanapokua wanakupakazia ubaya fulani kwenye