copy and paste this google map to your website or blog!
Press copy button and paste into your blog or website.
(Please switch to 'HTML' mode when posting into your blog. Examples: WordPress Example, Blogger Example)
Fahamu historia ya Diamond Platnumz juu ya maisha na muziki wake Mwaka 2009, Diamond alikutana na Bwana Msafiri Peter maarufu kama Papaa Misifa ambae alikubali kumsaidia kimuziki na Kurecord wimbo wa kwanza ulioenda kwa jina la "Nenda kamwambie", wimbo ambao Diamond aliimba kwa uchungu huku akimuimbia mpenzi wake huyo aliyemuacha (Sarah Sadiki) kuelezea kiasi gani aliumia kwa yeye kumuacha kwake, na hapo
Wakazi: Diamond Platnumz ni maarufu ila hajui kuimba, ukweli unauma . . . Diamond kachanganya ujasiriamali na kipaji chake ndo leo hii tunamuona ni msanii milionea ambaye automatically wasanii wengi walio nyuma kimaendeleo lazima watamletea zengwe P Diddy, Snoop dogg, Dr Dre na Master P hawajawahi kuwa wasanii walioshika namba moja ila tunavyoongea ni miongoni mwa wasanii matajiri zaidi duniani baada ya kujiongeza
Diamond Platnumz amuoa Zuchu. Ni mpango wa kuuzima moto wa Askofu . . . Msanii wa Bongo Fleva, Nadeem Abdul maarufu kwa jina la Diamond Platnumz amemuoa mpenzi wake wa muda mrefu Zuhura Othman Soud maarufu Zuchu Msanii wa lebo yake WCB Wasafi Ndoa hiyo imeibuka katikati mjadala mkali baada ya Mbunge wa Jimbo la Kawe, Askofu Josephat Gwajima, kulaani vikali vitendo vya utekaji vinavyoripotiwa kuendelea nchini Tanzania
Diamond, freemason siri nje - JamiiForums Diamond akisalimiana na mtasha kwa ishara ya Kifreemason Stori: Shakoor Jongo na Erick Evarist SIRI imefichukua kuwa madai kwamba kichaa wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul Jumaa Diamond Platnumz ni memba wa jamii ya siri inayodaiwa kumwabudu shetani, Freemason a k a Wajenzi Huru zilianza
How to use Demoniac- High Quality Glossy Female Body Texture? Hi, yesterday i bought skyrim and now i try to use some mods After a short google time, i downloaded the nexus mod manager and download "lein´s skyrim npc overhaul", "Skyrim 2020 by pfuscher" they worked fine but how i can run the demoniac mod?
mbosso - JamiiForums Mwanamuziki na mmiliki wa Lebo ya WCB, Naseeb Abdul ‘Diamond Platnumz’ amefafanua taarifa za msanii wake Mbwana Kilungi maarufu ‘Mbosso’ kuondoka kwenye lebo hiyo, huku akisema yeye ndiye mtoa tamko wa lebo hiyo Soma: Baba Levo atangaza Mbosso kuondoka WCB Wasafi na uamuzi wa Diamond Kupitia
please help :( neck and body diferent skin color hope someone can help meI recently updated to version 2 22 of the body type cbbe 3BA, but now my character has a slight difference in texture or colour, I do not know how to call it in the neck, I tried in the racemenu change the skin colour, the type of head (I'm using high poly face), before th
Utajiri wa Diamond Platnumz. . . - JamiiForums Huu Ndio Utajiri wa Msanii Diamond Platnumz by Frumence M Kyauke Nasibu Abdul Juma Issack, almaarufu Diamond Platnumz, ni msanii Afrika mwenye kipaji kikubwa cha uimbaji vilevile ni msanii tajiri zaidi Umaarufu wake umeanza kuonekana mwaka 2010 baada ya kuachia albamu kwa jina Kamwambie
Natamani Diamond Platinumz afikie umaarufu wa Michael Jackson watu kibao wenye nguvu kuliko Diamond wamaeshajaribu kuwa mj au hata kufanania imeshindikana,yule bwana kama ungedai muziki ni dhambi basi ndiye alikuwa shetani mwenyewe,Hii nyota ya wanaume(sio wanawake tu) kumlilia mond anapokuwa sehemu jamaa alikuwa nayo mara hata 50 yake,lingekiwa jambo la
Natamani Diamond Platinumz afikie umaarufu wa Michael Jackson Mimi huwa ninaamini diamond ni kama Michael Jackson kwa Tanzania yaani yupo on peak hapa tz and may be east Africa Lakini yupo chini sana kwa Africa Jina la Tanzania limeshindwa kumbeba kama akina davido na burna boy wanavyo bebwa na Nigeria and may be Michael Jackson alivyo bebwa na Marekani