copy and paste this google map to your website or blog!
Press copy button and paste into your blog or website.
(Please switch to 'HTML' mode when posting into your blog. Examples: WordPress Example, Blogger Example)
Fahamu historia ya Diamond Platnumz juu ya maisha na muziki wake Diamond alirelease nyimbo yake ya nne na kuweka record ya kuwa msanii wa kwanza na pekee kujaza Club Maisha hadi watu kushindwa kuingia na hata wengine kuzimia baada kutokupata hewa ya kutosha kutokna na wingi ujaaji huo
Need step-by-step guide on how to install Cbbe 3ba. Demoniac, Valhalla, Tempered, SG, The Pure, Diamond you obviously want the CBBE variant, and beefy hardware if you want 8K skins If your PC is on an older side, consider going with 2K textures instead Aaaand finally, we get to CBBE 3BA You really should go through its description in detail Instructions are quite comprehennsive
Picha ya Diamond Platnumz aliyopigwa Summer Jam 2025 . . . - JamiiForums Picha ya Diamond Platnumz aliyopigwa Summer Jam 2025 yauzwa pesa ndefu, TSh Milioni 1 3 na Getty Images Kampuni kubwa inayojulikana kimataifa kwa upigaji picha za wasanii wakubwa na matukio makubwa, Getty Images, imetangaza rasmi kuuza picha moja ya Diamond Platnumz kwa $499 (Tsh Milioni 1 3 =)
Diamond kufunguliwa kesi ya fidia ya mabilioni na Wakenya kwa kushindwa . . . Wakenya wajanja sana Wametafuta njia ya kuyachota mahela ya msanii Diamond, njia pekee waliyoona ni kumwalika kwenye show na kutengeneza mazingira ya yeye kuvunja mkataba Paap akaingia kwenye mfumo kwa kuvunja mkataba na sasa anaelekea kudaiwa mabilioni kama fidia
Je Diamond atakuwa chawa rasmi wa Baba Levo ikiwa Baba Levo atapewa . . . Uwezekano wa baba levo kupewa uwaziri wa michezo upo ,iwe kwa kutumia ushawishi wa Diamond au yeye mwenyewe maana uwezo wa kujieleza anao Sasa swali langu lipo hivi, je Diamond anaweza akawa chawa rasmi wa baba levo kama itatokea baba levo akaukwaa uwaziri?
Diamond Platnumz namba moja kwa kutazamwa YouTube Kenya Nyota wa muziki kutoka Bongo, Diamond Platnumz, amethibitisha ukubwa wake katika tasnia ya muziki baada ya kutajwa kama msanii aliyeongoza kutazamwa zaidi kwenye mtandao wa YouTube nchini Kenya kwa mwaka 2024 Kwa jumla ya watazamaji milioni 125, Diamond amewashinda wasanii wengine maarufu
Hatimaye pepsi wamvua ubalozi Diamond Platnumz - JamiiForums Lilikuwa ni suala la muda tu Hatimaye imetiki Pepsi imemvua ubalozi diamond , hivyo diamond ameondoa utambulisho rasmi wa yeye kama balozi wa pepsi Tanzania Sasa hapa inabidi nguvu nyingine itumike kuwashawishi serengeti nao wamtose ubalozi Pia jambo lingine Diamond amefuta picha ya
Zuchu amlipua Diamond na familia yake. Adai kufanyiwa Unyanyasaji na . . . Msanii wa Bongo Fleva, Zuchu, ameandika barua ya wazi kwa Diamond Platnumz akilalamikia unyanyasaji wa mara kwa mara kutoka kwa taasisi yake Wasafi FM, kupitia maudhui ya kipindi cha Mashamsham Zuchu amesema maudhui hayo yameathiri sanaa na afya yake ya akili, licha ya uwekezaji mkubwa wa