copy and paste this google map to your website or blog!
Press copy button and paste into your blog or website.
(Please switch to 'HTML' mode when posting into your blog. Examples: WordPress Example, Blogger Example)
Where We Dare To Talk Openly | JamiiForums Leo, katika mwendelezo wa Ligi Kuu ya NBC, Simba SC itakuwa na kibarua kizito mbele ya Azam FC Mchezo utachezwa katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam, majira ya saa 5:00 jioni Je, ni
Hawa ndio member 10 bora wa Jf kwa mwaka 2025. - JamiiForums Mzuka wana Jamvi 1 Ghayo de Mafwele Huyu ndiye member bora chipukizi pamoja na ugeni wake ila amefanikiwa kuiteka Jf kwa ucheshi wake na nondoz za maana 2 Lucha Mjuba ametikisa na kutrend sana Jf kutokana na misimamo yake kinzani ya vitisho yenye mzaha ndani yake Licha ya
Funzo: Mwana JF aliyeshangilia mauaji ya vitoto Gaza sasa anajuta na . . . Moja kwa moja Baada ya Oct 7 Hamas kufanya tukio baya la kijinga ambalo hata Mimi nilililani hapa Jf , serikali ya Netanyahu chini ya IDF ikafanya mashambulizi na mauaji ya kutisha ambayo waaathirika hawakuwa Hamas peke yake mpaka Raia wasiokuwa na Hatia katika Wazee , watoto nk Na wakaenda
JF roll call - JamiiForums Wakuu natumai wote ni wazima Kama upo hai na mzima wa afya, wewe kama member wa JF pita hapa ucomment chochote tujue bado upo nasi Teko Modise nipoooo
Dini mpya yaibuka Tanzania, Kumbukizi miaka 5 iliyopita mwana JF Likud . . . Amani iwe nanyi watumishi wa MUNGU katika KRISTO YESU Hii naichukulia kama kumbukumbu maishani mwangu kwamba usiepende kukaa unapinga kila jambo Mwana JamiiForums Likud miaka takribani saba iliyopita aliwahi sema humu jukwaan kuwa watoto wa mwaka 2000 hawana dini kipindi hicho jina la Genz